AFLEWO TANZANIA MAY 2013 PALE BCIC
Ule Mkesha Mkubwa wa Aflewo (Africa Lets Worship) ambao hufanyika mara moja kwa mwaka, umfanyika usiku wa leo katika Kanisa la BCIC Mbezi Beach. Mkesha huo ambao ni Maalum kwa ajili ya Kusifu, Kuabudu na Kuombea bara la Africa Umehudhuriwa na Maelfu ya wakazi wa Jiji la Dar-es-Salaam na Vitongoji Vyake.
Mkesha huo ulifunguliwa rasmi na Askofu Sylvester Gamanywa kwa maombezi maalum ya Kuombea Taifa la Tanzania. Pia katika Mkesha huo kulikuwa na team ya watu kutoka Mwanza, Zanzibar na Moshi kwa ajili ya kupata uzoefu wa kuandaa aflewo katika Mikoa hiyo.
Bishop Sylvester Gamanywa akifungua mkesha
Mass choir |
Aflewo mass choir
Ma MC wa event wakiwa kazini
Pastor Safari
Pastor Abel akimwabudu Mungu
Madhabahu ya Mungu yamejengwa Tanzania
Joel Lwaga wa Glorious Celebration akiwa kazini.
Sound team..
Music director wa Aflewo 2013, Sammy akiongoza wimbo
Joel Lwaga |